LOGO

 
Miamba ya soka nchini Spain clabu ya Real Madrid imefanikiwa kushinda taji la dunia kwa ngazi ya klabu baada ya kufanikiwa kuichapa timu ya San Lorenzo ya nchini Argentina kwa mabao 2-0 katika mchezo uliochezwa katika dimba la Marrakesh Stadium nchini Morocco
 Ramos runs celebrating down the touchline with open arms after putting his side ahead just before half time
Mabingwa hao wa Ulaya pia wanafundishwa na Carlo Anceloti walijipatia bao la kuongoza kupitia kwa beki wake Sergio Ramos katika dakika ya 37 ya mchezo huo ambapo mpaka mapumziko Madrid walikuwa wanaongoza kwa goli 1-0 kwa sifuri.
Gareth Bale aliwahahakikishia ushindi Madrid kwa kufunga goli la pili katikadakika ya 57 ya mchezo huo ambapo yalidumu mpaka dakika ya 90 ya mchezo huo.
Ushindi huo umefanya Madrid kucheza mechi ya 22 bila kupoteza katika mashindano yote, Cristiano Ronaldo na Kroos wanaweka historia ya kuwa wachezaji pekee walioshinda taji hilo mara mbili wakiwa na vilabu viwili tofauti Ronaldo alitwaa mwaka 2009 akiwa na Man utd na Kroos alishinda taji hilo mwaka 2013 akiwa na Bayern Munich.
Ni Miaka 12 sasa tangia Real Madrid washiriki michuano ya dunia kwa ngazi ya klabu na inakuwa ni mara ya kwanza kwa Madrid kushinda taji hilo.

Gareth Bale is greeted by his team-mates Cristiano Ronaldo (left), James Rodriguez (centre) and Pepe after netting their second 

VIKOSI
Real Madrid: Casillas, Carvajal (Arbeloa 73), Pepe, Sergio Ramos (Varane 89), Marcelo (Fabio Coentrao 44), Ronaldo, Kroos, Rodriguez, Bale, Isco, Benzema.
Goals: Sergio Ramos 37, Bale 51.

San Lorenzo: Torrico, Yepes (Cetto 61), Mas, Kannemann, Mercier, Buffarini, Kalinski, Barrientos, Ortigoza, Cauteruccio Rodriguez (Matos 68), Veron (Romagnoli 57).

Referee: Walter Lopez (Guatemala).

Real Madrid's Gareth Bale fights for the ball with San Lorenzo's Juan Mercier and Pablo Barrientos (left)

Real Madrid star Cristiano Ronaldo eyes the ball while team-mate James Rodriguez (left) watches on

The FIFA Club World Cup trophy on display at the Marrakesh Stadium in Morocco

Real Madrid boss Carlo Ancelotti watches on from the sidelines during the first half at the Marrakesh stadium

Real Madrid defender Ramos rises to head the opening goal during the final against San Lorenzo

Ramos peels away and raises his arms in celebration while Karim Benzema (left) jogs behind him

Ramos exchanges high fives with team-mate Rodriguez while Toni Kroos, Benzema and Pepe head back to their own half

Real Madrid's Bale curls one home from just inside the area to make it 2-0 early on in the second half

Welsh winger Bale is congratulated by team-mate Ronaldo (left) while Rodriguez is hugged by Pepe (right)

0 comments Blogger 0 Facebook

Chapisha Maoni

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

ZILIZOSOMWA SANA

 
TASWIRA MICHEZONI © 2015. All Rights Reserved. This Blog Proudly Designed by MMC™ Media Group Ltd | Phone +255-786-758-021
Top