LOGO

Radamel Falcao (second left) scored United's equaliser heading home from an Ashley Young cross on 53 minutes
MATOKEO:
Jumamosi Desemba 20
Man City 3 Crystal Palace 0        
Aston Villa 1 Man United 1         
Hull 0 Swansea 1             
QPR 3 West Brom 2         
Southampton 3 Everton 0          
Tottenham 2 Burnley 1               
West Ham 2 Leicester 0   
  The 28-year-old (centre) watches on as his brilliant header nestles into the back of Brad Guzan's net        

Manchester United wameendelea kukamata Nafasi ya 3 kwenye Ligi Kuu England wakiwa Pointi 7 nyuma ya Vinara Chelsea na Man City baada ya Leo kupata Sare ya 1-1 Ugenini huko Villa Park walipocheza na Aston Villa.
Villa walitangulia kufunga katika Dakika ya 18 kwa Bao la Christian Benteke lakini Radamel Falcao aliisawazishia Man United katika Dakika ya 53.
Villa walibaki Mtu 10 baada ya Agbonlahor kupewa Kadi Nyekundu katika Dakika ya 65 kwa kumchezea Rafu mbaya Ashley Young.
Ligi Kuu England itaendelea Jumapili kwa Mechi mbili na Jumatatu Mechi moja.
 The Colombia international (bottom) was soon in the thick of the action as he slide tackles Villa defender Jores Okore
VIKOSI:
Aston Villa: Guzan, Lowton, Vlaar, Okore, Clark, Cissokho, Sanchez, Delph, Weimann, Agbonlahor, Benteke
Akiba: Given, Bacuna, Herd, N’Zogbia, Robinson, Grealish, Calder.
Man United: De Gea, Jones, Carrick, Evans, Valencia, Fletcher, Mata, Rooney, Young, Van Persie, Falcao
Akiba: Lindegaard, Blackett, McNair, Rafael, Di Maria, Januzaj, Wilson
REFA: Lee Mason
The Colombia international (bottom) was soon in the thick of the action as he slide tackles Villa defender Jores Okore
Okore (left) tries to fend off United captain Wayne Rooney as they both compete for possession of the football

Robin van Persie (centre right) fails to connect with a golden opportunity that could have given United the lead in the opening minutes

Villa striker Christian Benteke gave his side the lead with a stunning left-footed strike on 18 minutes

Benteke (far right) chest controlled the ball before spinning to fire curl a shot despite the efforts of United's Jonny Evans (centre right)

The Belgian international's shot was too good for United's in-form keeper David de Gea (second right) who was left rooted to the spot
MAN CITY VS CRYSTAL PALACE

Sasa Chelsea na Man City zote zina Pointi 39 lakini Chelsea wanabaki Nambari Wani wakiwa na ubora wa tofauti ya Magoli na pia wana Mechi moja mkononi ambayo watacheza Jumatatu Usiku Ugenini na Stoke City.
Kwenye Mechi ya Leo, City, wakicheza bila ya Sentafowadi anaetambulika kutokana na kuumia kwa Masentafowadi wao Sergio Aguero na Edin Dzeko, walitoka 0-0 hadi Mapumziko.
Lakini Kipindi cha Pili, Bao 2 za David Silva na Yaya Toure ziliwapa ushindi waba Bao 3-0 dhidi ya Palace.
 
VIKOSI:
Manchester City: Hart, Zabaleta, Demichelis, Mangala, Kolarov, Fernandinho, Navas, Yaya Touré, Silva, Nasri, Milner
Akiba: Caballero, Boyata, Sagna, Fernando, Lampard, Ambrose, Sinclair.
Crystal Palace: Speroni, Kelly, Dann, Hangeland, Ward, Puncheon, Jedinak, Ledley, McArthur, Bolasie, Campbell
Akiba:Hennessey, Mariappa, Delaney, Bannan, Thomas, Gayle, Zaha.

Manchester City players celebrate Silva's goal as they move level on points with Chelsea at the top of the table

Yaya Toure completed the rout with his side's third goal from a thunderous strike towards the end of the game

0 comments Blogger 0 Facebook

Chapisha Maoni

ZILIZOSOMWA SANA

 
TASWIRA MICHEZONI © 2015. All Rights Reserved. This Blog Proudly Designed by MMC™ Media Group Ltd | Phone +255-786-758-021
Top