LOGO

 Fernando Torres celebrates opening the scoring for Atletico Madrid after just 49 seconds at the Bernabeu
Atletico Madrid wamefanikiwa kuiondosha Real Madrid kwenye mashindano ya Kombe la Mfalme 'Copa del Rey' kwa jumla ya magoli 4-2 baada ya mchezo wa leo kutokqa sare ya 2-2 katika dimba la Santiago Bernabeu ambapo mchezo wa kwanza Atletico Madrid waliichapa Real Madrid magoli 2-0. Magoli ya Real Madrid yalifungwa Fernando Torres katika dakika ya 1 na 46 huku magoli ya Real Madrid yakifungwa na Sergio Ramos dakika ya 20 na dakika ya 54 kwa matokeo hayo Real Madrid wameachia ubingwa huo huku Atletico ikisonga mbele kwa robo fainali.
World Player of the Year Cristiano Ronaldo shows his FIFA Ballon D'or trophy to supporters before the game Toni Kroos, Ronaldo, Sergio Ramos and James Rodriguez show off their awards before Copa del Rey tie 
Ronaldo was given a rapturous reception on his first appearance at the Bernabeu since being named World Player of the Year 
Real defender Sergio Ramos (right) rises to head home the the first equaliser on Thursday night 
 

0 comments Blogger 0 Facebook

Chapisha Maoni

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

ZILIZOSOMWA SANA

 
TASWIRA MICHEZONI © 2015. All Rights Reserved. This Blog Proudly Designed by MMC™ Media Group Ltd | Phone +255-786-758-021
Top