LOGO

 
Arsenal imeibuka na ushindi wa magoli 4 -1 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi kuu England katika Mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Emirates.
Arsenal ilikuwa ya kwanza kujipatia bao lake kupitia kwa mshambuliaji wake Oliver Giroud katika Sekunde ya 15 ya mchezo huo, Sant Carzola alifunga bao la pili katika dakika ya 54 huku Newcastle wakijitathimini kwa kipigo hiko Giroud aliongeza tena bao la 3 katika dakika ya 58 na kufanya matokeo kuwa Arsenal 3 Newcastle 0.
 
Katika dakika 63 Newcastle kupitia Perez walijipatia bao la kufutia Machozi lakini haikutosha kubadilisha matokeo kwani katika dakika 88 Arsenal kupitia kwa Carzola tena ilijipatia bao la 4 kupitia penalty kwa Ushindi huo Arsenal imefikisha point 26 na kuchupa hadi ya 6 mwa Msimamo wa Ligi kuu ya England.

VIKOSI
Arsenal: Szczesny, Bellerin, Debuchy, Mertesacker, Gibbs, Oxlade-Chamberlain, Flamini, Cazorla, Sanchez, Welbeck, Giroud.
Subs: Podolski, Sanogo, Martinez, Campbell, Coquelin, Ajayi, Maitland-Niles.
Goal: Giroud 15 and 58, Cazorla 54 and 88

Newcastle: Alnwick, Janmaat, Coloccini, Williamson, Dummett, Tiote, Colback, Gouffran, Perez, Ameobi, Cisse. 
Subs: Anita, Haidara, Cabella, Vuckic, Riviere, Armstrong, Woodman.
Goal: Perez 63 
Referee: Lee Mason (Lancashire)

Santi Cazorla scored twice as Arsenal won 4-1 against Newcastle on Saturday in the Premier League



Olivier Giroud (centre top) gave Arsenal the lead on 15 minutes with a towering header against Newcastle

Giroud (far left) watches on as his header sails into the top corner of the Newcastle net

The France international wheels away in celebration at giving the Gunners the lead in their Premier League encounter

Giroud (centre right) is congratulated on his strike by his fellow Arsenal team-mates at the Emirates Stadium

0 comments Blogger 0 Facebook

Chapisha Maoni

ZILIZOSOMWA SANA

 
TASWIRA MICHEZONI © 2015. All Rights Reserved. This Blog Proudly Designed by MMC™ Media Group Ltd | Phone +255-786-758-021
Top