LOGO

 Chelsea captain John Terry lifts the Capital One Cup after leading his side to a comfortable victory over Tottenham at Wembley
CHELSEA Leo hii Uwanjani Wembley Jijini London wametwaa Taji la kwanza la Msimu, likiwa Kombe la kwanza kwa Meneja wao Jose Mourinho tangu 2012, walipoichapa Tottenham Bao 2-0 katika Fainali ya Kombe la Ligi huko England ambalo sasa linaitwa Capital One Cup.
Kipindi cha Kwanza Tottenham walitawala lakini Chelsea walipata Bao lao la Kwanza Dakika ya 45 kutokana na Frikiki ya Willian kushindwa kuokolewa na Beki wa Spurs Danny Rose ambae Kichwa chake duni kilimfikia John Terry aliepiga Mpira uliomgonga Harry Kane na kumbabaisha Kipa wao Hugo Lloris na kutinga.
Dakika ya 56 Chelsea walipata Bao lao la Pili baada ya Shuti la Diego Costa kumbabatiza Beki wa Spurs Kyle Walker na kumhadaa Kipa Hugo Lloris.
Kwa kutwaa Capital One Cup Chelsea wanahakikishiwa kucheza Ulaya Msimu ujao kwenye UEFA EUROPA LIGI lakini kama watamaliza kwenye 4 Bora za Ligi Kuu England watacheza UEFA CHAMPIONZ LIGI badala yake.
 Diego Costa, John Terry and Didier Drogba start the celebrations after the final whistle as Chelsea prepare to lift the trophy
VIKOSI:
Chelsea: Cech; Ivanovic, Zouma, Terry, Azpilicueta; Cahill, Ramires; Willian, Fabregas, Hazard; Costa
Akiba: Courtois, Filipe Luis, Ake, Oscar, Cuadrado, Drogba, Remy.
Tottenham: Lloris; Walker, Dier, Vertonghen, Rose; Bentaleb, Mason; Chadli, Eriksen, Townsend; Kane
Akiba: Vorm, Davies, Fazio, Dembele, Stambouli, Lamela, Soldado.
REFA: Anthony Taylor
WASHINDI WALIOPITA:
1961 Aston Villa
1962 Norwich City
1963 Birmingham City
1964 Leicester City
1965 Chelsea
1966 West Bromwich Albion
1967 Queens Park Rangers
1968 Leeds United
1969 Swindon Town
1970 Manchester City
1971 Tottenham Hotspur
1972 Stoke City
1973 Tottenham Hotspur
1974 Wolverhampton Wanderers
1975 Aston Villa
1976 Manchester City
1977 Aston Villa
1978 Nottingham Forest
1979 Nottingham Forest
1980 Wolverhampton Wanderers
1981 Liverpool
1982 Liverpool
1983 Liverpool
1984 Liverpool
1985 Norwich City
1986 Oxford United
1987 Arsenal
1988 Luton Town
1989 Nottingham Forest
1990 Nottingham Forest
1991 Sheffield Wednesday
1992 Manchester United
1993 Arsenal
1994 Aston Villa
1995 Liverpool
1996 Aston Villa
1997 Leicester City
1998 Chelsea
1999 Tottenham Hotspur
2000 Leicester City
2001 Liverpool
2002 Blackburn Rovers
2003 Liverpool
2004 Middlesbrough
2005 Chelsea
2006 Manchester United
2007 Chelsea
2008 Tottenham Hotspur
2009 Manchester United
2010 Manchester United
2011 Birmingham City
2012 Liverpool
2013 Swansea City
2014 Manchester City
 As Chelsea celebrate in the background, Mousa Dembele is left to wonder what might have been as Tottenham finish as runners-up

0 comments Blogger 0 Facebook

Chapisha Maoni

ZILIZOSOMWA SANA

 
TASWIRA MICHEZONI © 2015. All Rights Reserved. This Blog Proudly Designed by MMC™ Media Group Ltd | Phone +255-786-758-021
Top