Zambia walitangulia kufunga katika Dakika ya Pili tu wakati Given Singuluma kumzidi Kipa wa Congo DR, Kidiamba, ambae wote huchezea Klabu ya TP Mazembe huko Lumbumbashi.
Lakini Congo DR wakasawazisha kwa Bao la Dakika ya 66 Yannick Bolasie anaechezea Klabu ya Ligi Kuu England, Crystal Palace.
Baadae Leo itachezwa Mechi ya Pili ya Kundi B kati ya Tunisia na Cape Verde.
VIKOSI:
DR Congo: Muteba, Djos, Kilichio, Mbemba, Mongongu, Mpela, Kage, Mulumbu, Bolasie, Ndombe, Mbokani
Akiba: Oualembo, Omba, Makiadi, Kebano, Bawaka, Kalonji, Zakuani, Kudimbana, Mabwati, Bokila, Mabidi, Mandanda.
Zambia: Mweene, Mbola, Sunzu, Nkausu, Lungu, Sinkala, Kalaba, Singulama, Mayuka, Kampamba
Akiba: Munyao, Munthali, Kabwe, Sautu, Musakanya, Mukuka, Musonda, Kangwa, Mwanza, Titima, Ngoma
REFA: Ghead Grisha [Egypt]
0 comments Blogger 0 Facebook
Chapisha Maoni