LOGO

South Africa 1-1 Senegal: Bafana denied by Mbodji
BAFANA BAFANA imevuna pointi moja baada ya kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Simba Wateranga, timu ya Taifa ya Senegal katika mechi ya pili ya kundi C ya michuano ya mataifa ya Afrika, AFCON inayoendelea kushika kasi nchini Guinea ya Ikweta.
Afrika kusini walikuwa wa kwanza kufunga goli katika dakika ya 47' kupitia kwa Matthews Oupa Manyisa, lakini Senegal wakasawazisha dakika ya 60' kupitia kwa Kala Mbodji.
Michuano hiyo inaendelea leo kwa mechi za pili za kundi D ambapo Ivory Coast 'Tembo' wanachuana na Mali majira ya saa 1:00 usiku, baadaye Cameroon wanachuana na Guinea.

0 comments Blogger 0 Facebook

Chapisha Maoni

ZILIZOSOMWA SANA

 
TASWIRA MICHEZONI © 2015. All Rights Reserved. This Blog Proudly Designed by MMC™ Media Group Ltd | Phone +255-786-758-021
Top