LOGO

 Hazard jumps and punches the air after scoring the game's opening goal as team-mates Andre Schurrle (left) and Cesar Azpilicueta look on
Timu ya Chelsea imweza kuingia finali ya kombe la Capital One Cup baada ya kuifunga timu ya daraja la pili Derby County kwa jumla ya mabao 3-1 katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja iPro Stadium.
Alikuwa ni Eden Hazard aileipa uongozi Chelsea kwa kuifungia bao safi katika dakika 23 ya Mchezo, hadi kipindi cha kwanza kina kamilika Chelsea walikuwa mbele kwa 1-0 dhidi ya Derby.
Katika dakika 56 Beki Mbrazil Felipe Luis aliongezea Chelsea bao la pili kwa freeckick huku likiwa ni goli lake la kwanza tangia asajiliwe na Chelsea majira ya kiangazi msimu huu.
 The former Atletco Madrid defender is all smiles and gives the thumbs up after scoring his first Chelsea goal since signing in the summer
Mjerumani Andre Schurrle alieihakikishia Chelsea ushindi kwa kuifungia bao la tatu katika dakika 82 ya mchezo na kutinga katika hatua ya nusu fainali ya kombe hilo.
Goli la kufutia machozi la Derby County lilifungwa na Bryson katika dakika 70 ya mchezo
Schurrle celebrates with Chelsea skipper John Terry as the Blues moved one step closer to the Capital One Cup final at Wembley
VIKOSI
Derby (4-3-2-1): Grant 6; Christie 6, Buxton 6, Keogh 5, Forsyth 6; Mascarell 6 (Ibe, 84), Bryson 7, Hughes 7 (Hendrick 75, 6); Russell 7, Dawkins 6 (Ibe 57, 6); Martin 5
Scorer: Bryson 70
 
Chelsea (4-2-3-1): Cech 6; Azpiluceta 6, Terry 7, Zouma 6 (Ivanovic 45, 6), Luis 7; Matic 6, Mikel 6; Schurrle 7, Fabregas 8, Hazard 7 (Ramires, 84); Drogba 6 (Remy 63, 6).
Scorers: Hazard 23, Luis 56, Schurrle, 82.
Referee: Jon Moss 7
Man of the Match: Cesc Fabregas

Matokeo mengine
FT Derby County 1 - 3 Chelsea
FT Sheffield United 1 - 0 Southampton
Chelsea's young defender Kurt Zouma, pictured controlling the ball during the first half, was forced off after a nasty collision

Chelsea defender Zouma is clattered as Blues goalkeeper Petr Cech attempts to stop Derby defender Keogh from reaching the ball

The France Under 21 international received treatment from Chelsea's medical staff for seven minutes shortly before half-time

Chelsea's Spanish duo Cesar Azpilicueta and Cesc Fabregas helped paramedics take the defender off the field on a stretcher
Chelsea substitute Loic Remy is hauled back by defender Jake Buxton on the edge of the Derby  area as the striker closed in on goal

Buxton pleads his innonence as referee Jonathan Moss brandishes the red card and gives the Derby defender his marching orders

0 comments Blogger 0 Facebook

Chapisha Maoni

ZILIZOSOMWA SANA

 
TASWIRA MICHEZONI © 2015. All Rights Reserved. This Blog Proudly Designed by MMC™ Media Group Ltd | Phone +255-786-758-021
Top