
Katika kuelekea mchezo wa mtani jembe 2,
Simba SC kesho wanataraji kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Mtibwa
sugar katika uwanja wa Azam complex uliopo Chamanzi jijini Dar es
salaam.
Simba SC wanataraji kucheza dhidi ya Yanga katika mchezo wa mtani jembe 2 hapo desemba 13 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Simba SC jana walitoa sare ya bila kufungana na Express ambao leo wamefungwa goli 1-0 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Simba SC wanataraji kucheza dhidi ya Yanga katika mchezo wa mtani jembe 2 hapo desemba 13 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Simba SC jana walitoa sare ya bila kufungana na Express ambao leo wamefungwa goli 1-0 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Wakati Simba SC wakicheza na Mtibwa
Sugar, Coastal union watakuwa katika uwanja wa Mkwakwani kuwakabili AFC
ya Arusha katika maadhimisho ya kuanzishwa kwa Coastal union ambao
wamefanikiwa kutwa ubingwa wa anzania bara mwaka 1988.
0 comments Blogger 0 Facebook
Chapisha Maoni