LOGO

 









Mshambuliaji toka Uganda anaekipiga kwa mabingwa wa kihistoria wa ligi kuu ya anzia bara Hamisi Kiiza 'Diego' ameiwezesha yanga kuibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Express ya Uganda.
Kiiza alitokea benchi kuchukuwa nafasi ya Countinho na katika dakika ya mwisho wa mchezo aliifungia Yanga goli pekee la ushindi katika mchezo huo wa kirafiki uliochezwa katika uwanja wa Taifa jijni Dar es salaam.

0 comments Blogger 0 Facebook

Chapisha Maoni

ZILIZOSOMWA SANA

 
TASWIRA MICHEZONI © 2015. All Rights Reserved. This Blog Proudly Designed by MMC™ Media Group Ltd | Phone +255-786-758-021
Top