LOGO

 Manchester City's Yaya Toure gives his side the lead from the penalty spot as the champions go 1-0 up 
Klabu ya Manchester City imekaribia vinara wa ligi kuu England EPL Chelsea kwa kuifunga timu ya Everton  katika mchezo wa ligi kuu England kwa goli 1-0 kwenye uwanja wa Etihad.

Goli hilo la Manchester City lilifungwa na Kiungo Yaya Toure katika dakika ya 28 ya mchezo kwa mkwaju wa penalty baada beki Jagielka kumchezea vibaya mchezaji wa Man city kwenye eneo la hatari

Kwa ushindi huo wa Man city umefanya kufikisha point 33 huku ikishika nafasi ya pili point 3 nyuma ya vinara Chelsea wenye point 36
VIKOSI

Manchester City: Hart, Clichy, Demichelis, Mangala, Zabaleta, Milner, Fernando, Toure (c), Navas, Nasri, Aguero
Goal Yaya Toure
Subs: Caballero, Sagna, Kolarov, Boyata, Lampard, Dzeko, Pozo
Everton: Howard, Baines, Distin, Jagielka (c), Hibbert, Coleman, Barry, Besic, Mirallas, Eto’o, Lukaku
Subs: Joel, McGeady, Barkley, Osman, Pienaar, Garbutt, Alcaraz


Samir Nasri  passes the ball under pressure from Phil Jagielka 
Fernando slides in for a crunching tackle on Samuel Eto'o
James Milner has a shot on goal as City looked to extend their lead over Everton 
Both sets of players gather for a photo as part of the Football Remembers campaign to honour the Christmas day truce of 1914
MSIMAMO

PosTeamPWDLGFGAGDPts
1Chelsea15113134132136
2Manchester City15103232141833
3Southampton1482424101426
4Manchester United147432416825
5West Ham United147342317624
6Arsenal156542418623
7Newcastle United156541718-123
8Swansea City146441914522
9Liverpool156361919021
10Tottenham Hotspur156361821-321
11Everton154652423118
12Stoke City155371720-318
13Aston Villa14446818-1016
14Sunderland152941323-1015
15Crystal Palace153571823-514
16West Bromwich Albion153571420-614
17Queens Park Rangers154291627-1114
18Hull City152761521-613
19Burnley152671024-1412
20Leicester City142481424-1010

0 comments Blogger 0 Facebook

Chapisha Maoni

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

ZILIZOSOMWA SANA

 
TASWIRA MICHEZONI © 2015. All Rights Reserved. This Blog Proudly Designed by MMC™ Media Group Ltd | Phone +255-786-758-021
Top