LOGO

 Wawrinka denied Djokovic from joining a select few who have won all four Majors in the modern era
Stanislas Wawrinka atwaa ubingwa katika michuano ya wazi ya Ufaransa maarufu kama FRENCH OPEN
Wawrinka amefanikiwa kutwaa ubigwa wake wa kwanza wa michano ya wazi ya ufaransa kwa kumbwaga Novak Djokovic kwa seti 4-6 6-4 6-3 6-4 mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa Roland Garros.
Nyota huyu wa tenesi mwenye miaka 30 alianza vibaya kwenye raundi ya kwanza kabla ya kurudi vizuri kuanzia raundi ya pili mpaka ya nne.
“Nataka nimshukuru kocha wangu Magnus Norman. Tulifika fainali mara mbili bila kushinda huu ni ushindi wake na wangu” alieleza mchezji huyo baada ya kumalika kwa mchezo huo
Ushindi huu unamfanya Wawrinka kuwa mchezaji wa kwanza wa urusi kushinda katika dimba la Roland Garros baada ya Roger Federer kuondosha katika nusu fainali.

BBC SWAHILI

0 comments Blogger 0 Facebook

Chapisha Maoni

ZILIZOSOMWA SANA

 
TASWIRA MICHEZONI © 2015. All Rights Reserved. This Blog Proudly Designed by MMC™ Media Group Ltd | Phone +255-786-758-021
Top