
Stanislas Wawrinka atwaa ubingwa katika michuano ya wazi ya Ufaransa maarufu kama FRENCH OPEN
Wawrinka
amefanikiwa kutwaa ubigwa wake wa kwanza wa michano ya wazi ya ufaransa
kwa kumbwaga Novak Djokovic kwa seti 4-6 6-4 6-3 6-4 mchezo uliofanyika
kwenye uwanja wa Roland Garros.Nyota huyu wa tenesi mwenye miaka 30 alianza vibaya kwenye raundi ya kwanza kabla ya kurudi vizuri kuanzia raundi ya pili mpaka ya nne.
“Nataka nimshukuru kocha wangu Magnus Norman. Tulifika fainali mara mbili bila kushinda huu ni ushindi wake na wangu” alieleza mchezji huyo baada ya kumalika kwa mchezo huo
Ushindi huu unamfanya Wawrinka kuwa mchezaji wa kwanza wa urusi kushinda katika dimba la Roland Garros baada ya Roger Federer kuondosha katika nusu fainali.
BBC SWAHILI
0 comments Blogger 0 Facebook
Chapisha Maoni