
Guinea ndio walitangulia kufunga Dakika ya 36 kwa Bao la Mohamed Yattara na kuwa 1-0 mpaka Mapumziko.
Ivory Coast walipata pigo Dakika ya 58 baada ya Fowadi wao Gervinho kupewa Kadi Nyekundi na kutolewa nje baada ya kumshambulia Mpinzani bila ya Mpira kuwepo.
Licha ya upungufu huo, Ivory Coast walisawazisha katika Dakika ya 72 kwa Bao la Seydou Doumbia baada kupokea pasi kutoka kwa Bony.
Baadae Leo ipo Mechi nyingine ya Kundi D kati ya
VIKOSI:
Guinea (Mfumo 4-2-3-1): Naby Yattara; Sankoh, Fofana, Constant, Camara; Pogba, Issiaga; Keita, Traore, Conte; Mohamed Yattara
Cote d'Ivoire (Mfumo 4-2-3-1): Gbohouo; Aurier, Bertrand, Kolo Toure, Kanon; Yaya Toure, Tiote; Gervinho, Kalou, Die; Bony
REFA:Mehdi Abid Charef [Algeria]
AFCON 2015
0 comments Blogger 0 Facebook
Chapisha Maoni