Kikosi cha Simba...
Kikosi cha Stand United...
Kipa
wa Stand United, John Mwenda, akidaivu kudaka mpira mbele ya
mshambuliaji wa Simba Amis Tambwe, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya
Tanzania Bara uliochezwa leo jioni kwenye Uwanja wa tAIFA Jijini Dar es
Salaam. Katika mchezo huo timu hizo zilitoka sare kwa kufungana bao 1-1.
Picha kwa hisani ya Habari Mseto
MATOKEO YA MECHI NYINGINEZO ZA LIGI KUU ZILIZOPIGWA LEO NI :-
SIMBA 1- STAND UNITED 1
PILISI MORO 1- KAGERA SUGAR 1
AZAM FC 0 - TANZANIA PRISONS 0
RUVU SHOTING 0 - MBEYA CITY 0
COASTAL UNION 2 - NDANDA FC1
0 comments Blogger 0 Facebook
Chapisha Maoni