Kama
bado hujajipatia tiketi kwa ajili ya kwenda uwanja wa taifa jijini Dar
Es Salaam kushuhudia mchezo wa Simba SC dhidi ya Yanga SC kesho Oct 18,
2012 saa 10:00 jioni, basi bado hujachelewa unaweza kujipatia tiketi
yako katika maeneo haya;
1.Uwanja wa Taifa - Msikitini na Minazini.
2. Buguruni - Shelly
3. Ubungo - Oilcom
4. Mbagala - Dar Live
5. Mnazi Mmoja
6. Makumbusho - Stand
7. Steers - Posta
8. TFF - Karume
2. Buguruni - Shelly
3. Ubungo - Oilcom
4. Mbagala - Dar Live
5. Mnazi Mmoja
6. Makumbusho - Stand
7. Steers - Posta
8. TFF - Karume
NB: Tiketi hazitauzwa mlangoni kesho.
0 comments Blogger 0 Facebook
Chapisha Maoni