Maswali mengi tuliyokuwa tukijiuliza juu ya msanii gani wa kimataifa
atakae dondoka Dar kwa ajili ya finali za tamasha la Fiesta leo hii
yamepata majibu.
Akitangazwa kupitia kipindi cha XXL akiwepo Fetty na B12, watangazaji
hao walihesabu mpaka kuanzia 10 mpaka 0 ilimradi tu kuwapa kiraruraru
wasikilizaji wao na mwisho wa siku wakamtangaza msanii wa kimataifa T.I
kutoka Marekani kuwa ndie atakaefanya makamuzi ndani ya Serengeti Fiesta
2014, itakayofanyika tarehe 18 October 2014 kwenye viwanja vya Leaders
Club.
djfetty blog
Nyumbani
»
» Unlabelled
» MSANII WA HIP HOP T.I KUSHUKA BONGO KWA AJILI YA TAMASHA LA FIESTA DAR ES SALAAM
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
ZILIZOSOMWA SANA
-
MICHUANO ya kombe la Mapinduzi 2015 iliyoanza kutimua vumbi jana inatarajia kuendelea tena leo kwa mitanange mitatu kupig...
-
Nahodha wa Liverpool Steven Gerrard ametangaza kuwa ataondoka Liverpool mwishoni mwa msimu huu baada ya kudumu liverpool kwa kipindi cha mi...
-
Siku kadhaa baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), kuifungia Kampuni ya Lino International kuendesha mashindano ya Miss Tanzani...
-
LIGI KUU ENGLAND Wikiendi hii inaanza kwa Mechi ya Jumamosi ya mapema kabisa huko...
0 comments Blogger 0 Facebook
Chapisha Maoni