LOGO


Newcastle defender Steven Taylor appeals for offside as Rooney finds the back of the net in Saturday's early kick-off at Old TraffordMANCHESTER UNITED Leo imetoka Sare 0-0 na Newcastle Uwanjani Old Trafford katika Mechi ya Ligi Kuu England lakini wametinga kileleni mwa Ligi Kuu England wakiwa na pointi 7 baada ya Mechi 3.
Man United walitawala Mechi yote na Wayne Rooney kufunga Bao ambalo Refa alilikataa kwa Ofsaidi na pia kupiga posti mara mbili.
Newcastle walipata nafasi ya wazi Kipindi cha Kwanza baada ya kichwa cha Mserbia Aleksander Mitrovic kupiga posti.
Manchester United:
Romero, Darmian (A Valencia, 77), Smalling, Blind, Shaw, Schneiderlin, Schweinsteiger (Carrick, 59), Mata, Januzaj  (Hernández, 67), Memphis, Rooney
Akiba: Johnstone, McNair, Valencia, Carrick, Herrera, Young, Hernandez.
Newcastle United:
Krul; Mbemba, Coloccini, Taylor, Haidara, Anita, Colback, Obertan (Thauvin, 69), Wijnaldum, Perez (Tioté, 78), Mitrovic (Cissé, 88)
Akiba: Williamson, Cisse, De Jong, Aarons, Thauvin, Tiote, Darlow
REFA:Craig Pawson

0 comments Blogger 0 Facebook

Chapisha Maoni

ZILIZOSOMWA SANA

 
TASWIRA MICHEZONI © 2015. All Rights Reserved. This Blog Proudly Designed by MMC™ Media Group Ltd | Phone +255-786-758-021
Top