LOGO

Valencia players celebrate after earning a thrilling 2-1 victory over Real Madrid at the Mestalla
ZILE mbio za Mechi 22 za Real Madrid bila kufungwa katika Mechi rasmi za Mashindano Leo hii zimemalizika baada ya kufungwa 2-1 na Valencia huko Estadio Mestalla katika Mechi yao ya kwanza ya La Liga kwa Mwaka 2015.
Cristiano Ronaldo aliipa Real Bao la kuongoza wa Penati ya Dakika ya 14 lakini Valencia wakapiga Bao 2 Kipindi cha Pili kupitia Antonio Barragan na Nicolas Otamendi kuwapa Bao la ushindi.
Matokeo hayo yamewabakisha Real Pointi 1 mbele ya Barcelona ambao wanaweza kutwaa uongozi wakiifunga Real Sociedad baadae Leo hii ingawa Barca watakuwa wamecheza Mechi 1 zaidi.
 Cristiano Ronaldo celebrates after opening the scoring for Real Madrid with a first-half penalty
VIKOSI:
Valencia (Mfumo 3-4-1-2): Diego Alves; Orban, Otamendi, Mustafi; Barragan, Parejo, Enzo Perez, Piatti; Andre Gomes; Negredo, Alcacer.
Real Madrid (Mfumo 4-3-3): Casillas; Carvajal, Pepe, Sergio Ramos, Marcelo; Kroos, Isco, James Rodriguez; Bale, Ronaldo, Benzema.
REFA: Jesús Gil

Valencia players clap on their Real Madrid counterparts to congratulate them for their Club World Cup victory

Real Madrid record signing Bale (left) is tackled by Valencia's Lucas Orban to concede a first-half free kick

Valencia players argue with the referee after a penalty is awarded to Real Madrid for a hand ball by Alvaro Negredo

Valencia's goalkeeper Diego Alves speaks to Ronaldo before the Portuguese superstar takes his penalty

Ronaldo paid no attention to the keeper's attempts to put him off and struck his penalty cleanly

Ronaldo is congratulated by Marcelo (left) and Sergio Ramos (centre) after stroking home his penalty

0 comments Blogger 0 Facebook

Chapisha Maoni

ZILIZOSOMWA SANA

 
TASWIRA MICHEZONI © 2015. All Rights Reserved. This Blog Proudly Designed by MMC™ Media Group Ltd | Phone +255-786-758-021
Top