LOGO

Afuzu vipimo vya Afya angoja mkataba toka kwa yanga (picha toka kwa Bin Zubeiry)
Mshambuliaji toka Liberia anaetarajiwa kujiunga na Yanga, Kpah Sean Sherman hii leo amefanyiwa vipimo vya afya nakufuzu vipimo hivyo na wakati wowote ule anaweza akpewa mkataba kwaajili ya kumwaga wino.
Sherman aliwasili nchini jana alasiri akitokea Cyprus na leo akafanyiwa vipimo vya afya ambapo majibu yanaonyesha kuwa hana tatizo lolote litakalo muuwezesha kutoweza kucheza mpira.
Kwa mujibu wa taarifa tuliyo nayo yanga wanatarajiwa kumpatia mkataba wa mwaka mmoja kama mazungumzo ya mwisho yakiwafikana ambapo, yanga itawabidi wampunguze mchezaji mmoja wa kigeni ili kuendana na sheria za ligi kuu ya vodacom ambapo inahitaji wachezaji wa tano wa kigeni

0 comments Blogger 0 Facebook

Chapisha Maoni

ZILIZOSOMWA SANA

 
TASWIRA MICHEZONI © 2015. All Rights Reserved. This Blog Proudly Designed by MMC™ Media Group Ltd | Phone +255-786-758-021
Top