Rais
wa Wasafi Diamond Platnumz akiwa pamoja na wacheza showa wake Roma
Tonsa na Moses Iyobo wakitoa burudani katika kunogesha sherehe ya miaka
53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika Sheraton Hotel ya Silver
Spring, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na mashabiki wake kutoka
kila pembe ya Marekani huku mashabiki wengine wakitokea Tanzania.
Mzuka unazidi kupanda Diamond Platnumz asaula koti lake.
Balozi
akimshukuru Diamond kwa kuwezesha kunogesha usiku wa Uhuru wa Tanzania
na pia aliwashukuru wadhamini wa sherehe hiyo ya moaka 53 ya Uhuru wa
Tanzania Bara.
Diamond akizidi kuwapa burudani mashabiki wake. , Picha na Vijimambo
Shabiki akicheza wimbo wa mdogo mdogo
Shabiki akijumuika na Diamond kwenye jukwaa.
0 comments Blogger 0 Facebook
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.