LOGO

Andoni Zubizarreta unveils Luis Suarez in August after he completed his £75million transfer from Liverpool
Barcelona imemfukuza kazi Andoni Zubizarreta kutoka nafasi yake ya Mkurugenzi wa Soka.
Zubizarreta, mwenye Miaka 53 na Kipa wa zamani wa Barcelona, alichukua wadhifa huo wa Mkurugenzi mwanzoni mwa Msimu Mwaka 2010 baada ya kuondoka kwa Txiki Begiristain ambae sasa yupo Manchester City kama Mkurugenzi wa Soka.
Taarifa ya Klabu ya Barcelona ilisema Rais wao Josep Maria Bartomeu ameamua kuvunja Mkataba na Zubizarreta mara moja.
 Zubizarreta also sanctioned the transfer of Thomas Vermaelen, who is yet to play a game for Barca
Zubizarreta alikuwa Kipa wa Barca kati ya Miaka 1986 na 1994 na pia kuidakia Spain mara 126.
Huko Spain Wadau wengi wamekuwa wakimlaumu Zubizarreta, ambae alihusika na Uhamisho wa Wachezaji, kwa janga la kufungiwa na FIFA kuuza na kusajili Wachezaji wapya kwa Mwaka huu wote kutokana na kukiuka Kanuni za Kusajili Wachezaji Chipukizi wa chini ya Miaka 18 kutoka nje ya Spain.
 Goalkeeper Marc Andre ter Stegen (left) arrived from Borussia Monchengladbach in the summer

0 comments Blogger 0 Facebook

Chapisha Maoni

ZILIZOSOMWA SANA

 
TASWIRA MICHEZONI © 2015. All Rights Reserved. This Blog Proudly Designed by MMC™ Media Group Ltd | Phone +255-786-758-021
Top