Atletico Madrid imefanikiwa kuichapa Real Madrid kwa jumla ya magoli 2-0 katika mchezo wa kuwania kombe la mfalme Copa Del Rey kwa raundi ya kwanza kwenye hata ya 16 bora katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid Hispania
Atletico Madrid walijipatia bao la kwanza 58 kwa mkwaju wa penalty kupitia kwa Raul Garcia katika dakika ya ya kipindi cha pili Atletico iliyochagizwa na urejeo wa nyota wake wa Zamani Fernando Torres ambapo alionesha kiwango kizuri.
Real Madrid ilimpumzisha nyota wake Cristiano Ronaldo alieripotiwa kuwa na maumivu ya kifundo cha mguu ambae aliingia baadae kuongeza nguvu lakini hawakufanikiwa kusawazisha goli hilo.
Katika dakika ya 76 ya mchezo Jose Gimenez aliihakikishia Atletico Madrid ushindi kwa kuzamisha goli la pili ambalo lilidumu mpaka dakika 90 zinakatika na Clabu ya Atletico Madrid kuibuka na ushindi nyumbani wa magoli 2-0 dhidi ya mahasimu wa Real Maddrid
VIKOSI
Atletico Madrid (4-4-2): Oblak; Gamez, Godin, Gimenez, Lucas; Mario, Gabi, Saul (Turan),
Raul Garcia; Griezmann (Mandzukic), Torres (Koke).
Goal:
Garcia 58', Gimenez 76
Subs: Moyá
Rumbo, Tiago, Jiménez, Juanfran
Booked:
Gamez, Godin, Garcia, Gabi, Griezmann, Mandzukic
Real Madrid (4-2-3-1): Navas; Arbeloa (Carvajal), Varane, Ramos, Marcelo; Kroos,
Khedira; Bale, Isco, James (Ronaldo); Benzema (Jesé).
Subs:
Casillas, Coentrão, Nacho, Illarramendi
Booked:
Marcelo, Khedira, Ramos, Carvajal
Ref:
Carlos Clos Gómez
Att:
46,800
0 comments Blogger 0 Facebook
Chapisha Maoni