LOGO

 Gerrard goes tumbling in the box in the second half but Basle goalkeeper Tomas Vaclik had got his hand on the ball first
Klabu ya Livrpool imetupwa nje ya mashindano ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE na itashiriki michuani ya EUROPA baada ya kutoka sare na na timu ta FC Basel ya Uswis katika mchezo wa kuhutimisha  mechi za makundi mchezo huo ulichezwa kwenye uwanja wa Anfield nchini England.
Liverpool captain Steven Gerrard (right) and Lucas Leiva trudge back to the halfway line after the Reds had fallen behind
Fabian Frei aliipatia timu bao la kuongoza katika dakika ya 25 ya mchezo huo na kusababisha matoke kusomeka Liverpool 0-1 FCBasel. Liverpool ilijitutumua na kufanikiwa kusawazisha bao hili kwa nahodha Steven Gerrard katika dakika 80 lakini bao hilo halikutosha kuivusha timu hiyo raundi ya 16 kwani walihitaji ushindi wa aina yeyote ule ili wafuzu.
 Switzerland international midfielder Fabian Frei fires in a shot from the edge of the box that Basle the lead early in the first half
Sasa Liverpool itashiriki michuano ya Europa kutokana na kushika nafasi ya 3 ikiwa na point 5
 VIKOSI
Liverpool (4-2-3-1): Mignolet 6; Johnson 5.5, Lovren 6, Skrtel 6.5, Jose Enrique 4 (Moreno 45, 5); Allen 5.5, Lucas 5.5 (Coutinho 74); Henderson 5, Gerrard 7, Sterling 5.5; Lambert 5.5 (Markovic 45, 5).
Subs not used: Jones, Sakho, Lallana, Can.
Goal: Gerrard 80.
Manager: Brendan Rodgers, 5.5 

Basle: Vaclik 6.5; Schar 6, Suchy 6.5, Safari 5.5; Elneny 6 (Diaz 83), Frei 7; Xhaka 7, Zuffi 7.5 (Samuel 88), Gashi 6; Gonzalez 6, Streller 6 (Embolo 74).
Subs not used: Vailati, Degen, Delgado, Hamoudi.
Goal: Frei 25. 

Manager: Paulo Sousa, 6.5.
Referee: Bjorn Kuipers (Holland) 6.
Attendance: 43,290.
Man of the Match: Luca Zuffi. 

Raheem Sterling (right) can't believe his eyes as Frei wheels away to celebrate his sweetly struck strike
Sterling watches on as Frei's team-mates rush to celebrate the goal which put Basle in the driving seat
Basle's players celebrate wildly as they begin to sense an upset at the home of the five-time European Cup winners
Brendan Rodgers looks dejected as Liverpool failed to create any meaningful chances in the first half
Sterling cuts a frustrated figure in the Merseyside rain as Liverpool struggle to get a foothold in the match
Dejan Lovren protests as substitute Lazar Markovic is shown a straight red card for catching Behrang Safari
Players from both sides surround the referee as Safari lies on the floor and Markovic leaves the field

0 comments Blogger 0 Facebook

Chapisha Maoni

ZILIZOSOMWA SANA

 
TASWIRA MICHEZONI © 2015. All Rights Reserved. This Blog Proudly Designed by MMC™ Media Group Ltd | Phone +255-786-758-021
Top